Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,181
- 3,115
Kama title inavyojieleza, Mara nyingi nmekua nikitumia internet kwenye PC kwa kutumia tethering hasa hii ya WiFi hotsport,
Sasa majuzi nmebadirisha simu na hapo ndipo tatizo lilipoanzia, kila nikijaribu kuunganisha inagoma.
Kwenye PC inasoma lakin net haipandi, inaload muda kisha inakata .nikijaribu simu zingine zinakubali .
Simu nayotumia ni huawei ascend y 520 .
Msaada tafadhali
Sasa majuzi nmebadirisha simu na hapo ndipo tatizo lilipoanzia, kila nikijaribu kuunganisha inagoma.
Kwenye PC inasoma lakin net haipandi, inaload muda kisha inakata .nikijaribu simu zingine zinakubali .
Simu nayotumia ni huawei ascend y 520 .
Msaada tafadhali