Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Hali zenu wanaJf
naomba kusaidwa kitu, kuna mtu kafungua account ya fb kwa jina langu na friend wake m1 ni mtu wa karibu sana kwangu. mimi sipo fb ila kuna watu wananambia kuwa kuna mtu anatumia jina langu. pia nina wasiwasi anaweza kuniharibia. je ni jinsi gani naweza kuhack ile account?ama kuifunga
naomba kusaidwa kitu, kuna mtu kafungua account ya fb kwa jina langu na friend wake m1 ni mtu wa karibu sana kwangu. mimi sipo fb ila kuna watu wananambia kuwa kuna mtu anatumia jina langu. pia nina wasiwasi anaweza kuniharibia. je ni jinsi gani naweza kuhack ile account?ama kuifunga