Msaada plz

david shayo

Member
Nov 21, 2011
21
5
Salam wandugu naomba msaada plz rafiki yangu yamemkuta mkewe anatumia uzazi wa mpango{njiti} sasa anadai mkewe hana hisia tena yani hata azame chumvun hapati hisia vp mwamshauri nn?kwamba ukitumia uzazi wa mpango mwanamke hupoteza hisia?
 
Kwa maelezo zaidi kuhusu uzazi wa mpango soma uzi huu in wich side effect za njia mbali mbali zilizungumziwa. Ningeshahuri wakamuone tena daktari.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom