vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
- Thread starter
- #41
compaq y hilo jina heartbeat canteen watu si watakimbia jamani.....
vkeisy2006 mpendwa badilisha Avatar yako kama hutojali saaaaaaaana ombi hili
hiyo hapo inaonyesha uko kibishara zaidi ...
samahani kama nitakukwaza
nakuunga mkono mama wa kwanza....ndio maana nobody took her seriously...hii avata niliiona jana usiku mzima nikawa naiwaza...iko ki x-rated..samahani mrembo endapo nimekukwaza...!wanaume tuna shida!
hivi kama hivi ni vinyonyo.... manyonyo yanfananaje??? sore ofu topiki