vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
- Thread starter
- #21
Fidel kweli au...mimi amserious in need
Picha yako imenikwaza hadi wazo la biashara limenitoka
Fidel kweli au...mimi amserious in need
Nimekwazika.....................(msiniulize na nini,jibu lipo dhahiri)
Fidel kweli au...mimi amserious in need
hiyo avata yako...mmmhuuu!.
mmh fidel kama hii yangu inakumaliza pumzi, hii ya unayetaka kumsaidia bila malipo si itakufanya uzimie kabisa mpwa wangu.Mi hii ya kwako huo mgongo mm pumnzi huwa naishiwa kabisa.
unaona sasa
dah jamani ndo azetu wengine msizitie majaribuni
my applepie am here....yashinde majaribu!! after all kuna nini hapo ....
mmh fidel kama hii yangu inakumaliza pumzi, hii ya unayetaka kumsaidia bila malipo si itakufanya uzimie kabisa mpwa wangu.
vkeisy2006 mpendwa badilisha Avatar yako kama hutojali saaaaaaaana ombi hili
hiyo hapo inaonyesha uko kibishara zaidi ...
samahani kama nitakukwaza
Mi MEWATA huwa simaindishi kabisaaa mm mgongo mgongo ndo balaa.
Mi MEWATA huwa simaindishi kabisaaa mm mgongo mgongo ndo balaa.
kama ni pesa mama cha kukusaidia sina,
Labda nikusaidie tu kukuchagulia jina:
HEARTBEAT CANTEEN
bht hiyo MEWATA ina maana gani!nitoe matongotongohahaaaaaaa lol!! MEWATA!!!
Fide una laana wewe mtoto w akiume au laa ulilogwa na mchawi wako alisha kufaa.
yaani umenivunja mbavu duh!!!
bht hiyo MEWATA ina maana gani!nitoe matongotongo
thanx,basi mpwa wetu fidel ana moyo wa mama theresa maana mie nilizani anaongeza mtaji sbb ya kuzimia chakula ya mtoto inayonesanesa kumbemedical women association of tanzania
hiki chama cha madaktari wanawake wanajishughulisha sana na mazoezi ya kupima wanawake kugundua kama wana kansa ya ziwa (ndo maana fidel kasema MEWATA yeye hamaindi)