beltomaiko
Member
- Aug 19, 2012
- 13
- 0
Wanajukwaa naomben msaada. Nina friend wangu ananisumbua. Yeye ali make aplication for second round na akaandikiwa adimited jordan university colege. Sasa akichek acount za watu wa first round kwa profile anaona kabisa kwamba your admited some where. There 4 anasema mbona kwake aiandik ivo?