Jaman wadau naomba kujuzwa juu hili tatizo kwa watoto,mwanangu ana mwaka sasa lakini utosi wake bado haujafunga na mara nyng panavodunda sn analia sana,sasa cjajua kama hii kitu ni kawaida au ni tatizo!naombeni msaada wenu ndugu zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.