Hiyo ngoma inabidi uilink na cm yako mara nyingi original product eg nokia ,samsun,sony ericson ndizo huwa zinakubwa sana switchi on u're phone btw na na hiyo btw player ukii search through u're phone ita idetect so sijajua unatumia cm aina gani kwan zinatofautiana hito ni kama wireless dec . Ambayo waweza kupoke hadi cm pasipo kuitoa com kwa bag yako.
Unatakiwa uwe na simu yenye bluetooth na uweze kuzi pair na hiyo headset ili iweze kufanya kazi. Kama unayo simu ya bluetooth, nenda kwenye option ya bluetooth, unaiwasha bluetooth ya simu, na bluetooth headset yako uiwashe iwe kwenye pairing mode. Kwenye simu unakwenda kwenye option ya 'search for devices'. Simu ikishaiona hiyo headset, unatakiwa uweke password ya hiyo headset. Mara nyingi ni 0000. Ikishaisoma utaona ujumbe 'paired', na hapo unaweza kuitumia hiyo headset.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.