Msaada Please bluetooth stereo headset

Davies_007

Member
Apr 22, 2010
59
0
wakuu nimeletewa zawadi ya kitu kinaitwa bluetooth stereo headset sasa Jinsi ya Kuoperate Imekuwa ishu sana Msaada Tafadhari
 

Attachments

  • bh-503_240x240.png
    bh-503_240x240.png
    9.1 KB · Views: 39
Hiyo ngoma inabidi uilink na cm yako mara nyingi original product eg nokia ,samsun,sony ericson ndizo huwa zinakubwa sana switchi on u're phone btw na na hiyo btw player ukii search through u're phone ita idetect so sijajua unatumia cm aina gani kwan zinatofautiana hito ni kama wireless dec . Ambayo waweza kupoke hadi cm pasipo kuitoa com kwa bag yako.
 
Unatakiwa uwe na simu yenye bluetooth na uweze kuzi pair na hiyo headset ili iweze kufanya kazi. Kama unayo simu ya bluetooth, nenda kwenye option ya bluetooth, unaiwasha bluetooth ya simu, na bluetooth headset yako uiwashe iwe kwenye pairing mode. Kwenye simu unakwenda kwenye option ya 'search for devices'. Simu ikishaiona hiyo headset, unatakiwa uweke password ya hiyo headset. Mara nyingi ni 0000. Ikishaisoma utaona ujumbe 'paired', na hapo unaweza kuitumia hiyo headset.

Natumaini nimeeleweka.
 
Rahisi sana fanya hivi!!!

angalia model ya hiyo kitu halafu google andika hivi ile sehemu ya kusearch.

'' how to connect bluetooth stereo headset model hii'' utapata majibu kibao

Wacha uvivu kakakaaaa
 
hata simu za kichina zinakubali. ila hizi za kiwango kidogo sio zile za tupate sote. angalia kwenye bluetooth options utaona neno bluetooth headset
 
Back
Top Bottom