Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 585
- 919
Natanguliza heshima kwenu, anayejua mahali wanapouza pete nzuri za ndoa mbili, kwa gharama ya 400K-500K kwa location ya Dar es salaam anijuze....
Pia kwa anayejua fundi mzuri wa suti kwa gharama isiyozidi 200K Location ni Dar es salaam
Pia kwa anayejua fundi mzuri wa suti kwa gharama isiyozidi 200K Location ni Dar es salaam