Nyuki baby
Member
- Feb 24, 2012
- 85
- 8
Jamani msaada kwa wanaojua dawa ya kunyosha uume uliopinda! Na vyakula vya kuongeza nguvu za kiume!
Jamani msaada kwa wanaojua dawa ya kunyosha uume uliopinda! Na vyakula vya kuongeza nguvu za kiume!
thanx!Hakuna dawa ya kunyoosha uume bwana..ni jinsi unavoiweka na uache kuvaa chupi vaa boxer..
Ohh! nimeshanga kwani ukiwa hivyo kua umepinda kushoto au kulia kwa sana kuna tatizo kwenye ku DO? au inamnyima raha tuu?Aah!jembe acha hizo! Dawa ya mbu au bakora ni mkunjo mkali sana! Yaani ukisimama ni kama unakuwa upinda kushoto kidogo@asabaya
Acha hizo we kavu nn!Kama uko Dar, pale bamaga petrol station wanafanya wheel algniment na shaft algniment.wahi
kwenye ku DO hakuna tatizo sema inaninyima raha na cjui mbele ya safari itakuwaje!Ohh! nimeshanga kwani ukiwa hivyo kua umepinda kushoto au kulia kwa sana kuna tatizo kwenye ku DO? au inakunyima raha tuu?
unapatikana wap? Nikutafute au nikuelekeze uniletee!Nauza boxer nzuri za cotton bei rahisi
Jamani msaada kwa wanaojua dawa ya kunyosha uume uliopinda! Na vyakula vya kuongeza nguvu za kiume!
kwenye ku DO hakuna tatizo sema inaninyima raha na cjui mbele ya safari itakuwaje!
Jamani msaada kwa wanaojua dawa ya kunyosha uume uliopinda! Na vyakula vya kuongeza nguvu za kiume!
Omba msaada wa nguvu za kiume lkn mimi
lkn hilo la kuwa uume umepnda sion kama tatzo
mbona hata mimi ngoma kushoto lkn kaz kama dawa!!
Kwa habar nilizopataga kuwa unatahiriwa ukiwa unauguza kdonda ule upande unaopenda kulalia ndo inapindia huko huko! Lkn sina uhakika na hilo
teeh teeh! Kumbe2kowengi bac hakuna shida1mkuu hakuna shida yoyote hata wangu umepinda kama ndizi mshale tena huwa unanipa sana tough maana huwa unasugua nanihii ya mwanamke vizuri especially G-Spot