Imekuwa kama mzigo kwangu kwa sasa, mwanzo niliamin itakuwa kwa muda tu.
Mimi sikuwahi kumtaka wala kumtamani, sijui ni nini alikifanya kwani ghafla nilijikuta nami nimempenda hata kupelekea kumpa mimba iliyoleta tafrani, kabla ya yeye kuitoa na kunilazimisha kuendelea na mahusiano naye.
Najisikia kumchukia kwa sasa, simfurahii tena, natamani hata ningekufa nisimuone tena. Bado dhambi ya abortion inanisumbua moyoni, namuona ni muuaji asiye na huruma.
Tatizo nitapomkataa itakuwa mwisho wa masomo yangu chuo,
na anatishia kunisemea kwa uncle (mumewe) kwamba ninamtaka kimapenzi na kwa jinsi uncle anavyompenda mkewe, hatonielewa kwa lolote.
Naogopa pia kumweleza uncle kwan najua hatoniamini mimi, anampenda na kumwamini mkewe,
nahisi itakuwa hatari zaidi kwangu.
Najutia makosa yangu kwa sasa,
nimekosa njia ya kujitoa, nahitaji msaada wenu marafiki
sijui nikushaurije....acha nikatafakari
huyu ashawahi kuja hapa na hadithi hii hii inakuaje umemsahau best.....anatuzingua tu.
Heri ya Mwaka mpya mpendwa!
huyu ashawahi kuja hapa na hadithi hii hii inakuaje umemsahau best.....anatuzingua tu.
Heri ya Mwaka mpya mpendwa!
I am tired with these stuffs!
Days in and days out nimemgegeda shangazi and the likes...it's getting boring now
Imekuwa kama mzigo kwangu kwa sasa, mwanzo niliamin itakuwa kwa muda tu.
Mimi sikuwahi kumtaka wala kumtamani, sijui ni nini alikifanya kwani ghafla nilijikuta nami nimempenda hata kupelekea kumpa mimba iliyoleta tafrani, kabla ya yeye kuitoa na kunilazimisha kuendelea na mahusiano naye.
Najisikia kumchukia kwa sasa, simfurahii tena, natamani hata ningekufa nisimuone tena. Bado dhambi ya abortion inanisumbua moyoni, namuona ni muuaji asiye na huruma.
Tatizo nitapomkataa itakuwa mwisho wa masomo yangu chuo,
na anatishia kunisemea kwa uncle (mumewe) kwamba ninamtaka kimapenzi na kwa jinsi uncle anavyompenda mkewe, hatonielewa kwa lolote.
Naogopa pia kumweleza uncle kwan najua hatoniamini mimi, anampenda na kumwamini mkewe,
nahisi itakuwa hatari zaidi kwangu.
Najutia makosa yangu kwa sasa,
nimekosa njia ya kujitoa, nahitaji msaada wenu marafiki