Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,447
Baada ya kuweka Window 10 nikaamua kuweka software mpya kama vile Mozilla Firefox na Chrome ili nifanye kazi zangu.
Cha ajabu kila nikitaka kuziINSTALL zinaniletea maandishi haya
THIS APP CANT RUN ON YOUR PC.
To find a version of your PC check with the software publiisher.
Naombeni msaada wenu wana JF