Msaada kuhusu installation kupata window 10 Pro

Msaada kuhusu installation kupata window 10 Pro

becknature

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2017
Posts
744
Reaction score
982
Habari wakuu, natumia PC HP probook g2 430, nilivyonunua ilikua na window 10 pro, sasa baada ya matumizi nikajikuta wakati nilikua badilisha window,nikiri wakat naistall nilikua nachomeka tu booted flash then run, bila kuformat disk, tatizo linakuja kipindi hiki kila wakati nikipga window inaniletea window 10 education imenifanyia kama Mara nne hivi, na Mimi nahitaji window 10 pro. Naomba mnifahamishe tatizo linaweza kua nini?

Na nifanye nini niweze pata window 10 pro. Huwa nasikia kuna baadhi ya laptop wanakupa selection uchague window gani unahitaji ila yangu hii siipati hilo chaguo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu, natumia PC HP probook g2 430, nilivyonunua ilikua na window 10 pro, sasa baada ya matumizi nikajikuta wakati nilikua badilisha window,nikiri wakat naistall nilikua nachomeka tu booted flash then run, bila kuformat disk, tatizo linakuja kipindi hiki kila wakati nikipga window inaniletea window 10 education imenifanyia kama Mara nne hivi, na Mimi nahitaji window 10 pro. Naomba mnifahamishe tatizo linaweza kua nini?

Na nifanye nini niweze pata window 10 pro. Huwa nasikia kuna baadhi ya laptop wanakupa selection uchague window gani unahitaji ila yangu hii siipati hilo chaguo.

Sent using Jamii Forums mobile app
1. windows 10 education ni ya kisasa zaidi kuliko pro, ni equivalent ya ultimate ama enterprise edition.

2. windows 10 pro unaweza kuipata website ya microsoft hapa
 
wadau ni wapi naweza kupata cd ya window 10 orgrn mpya kabisa na garama zake zinakuwa sh.ngapi? mm nipo dsm

Sent using Jamii Forums mobile app
Windows 10 original utaipata link ya hapo juu,

Na unaweka kwenye nini? Kama ni laptop/desktop iliowahi kuwa na win 7 ama 8 og then win 10 ni bure huna haja ya kununua.
 
Tumia link hio hio, hakuna anaetengeza windows tofauti na microsoft.

https://www.microsoft.com/en-tz/p/w...cid=Cat-Windows-mosaic_linknav-Home-092016-SG

Dola 200 around laki 5
Naomba msaada wako Chief-Mkwawa mie nimefanya installation ya window 8.1 nikainstall printer [emoji2774] Laserjet Pro MFP M125nw lakini ikafeli na inaleta error ile ile moja , nikabadili kutoka window 8.1 kwenda window 10 lakini vyote nimefail.. kama unamsaada nisaidie Mkuu . Au km kuna process naomba unijuze maana hii laptop ilikuwa na hiyo printer lkn kwa sasa haina .. na hazisomi..
NAOMBA MSAADA WAKO.
IMG20200311173735.jpeg
IMG20200311173732.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba msaada wako Chief-Mkwawa mie nimefanya installation ya window 8.1 nikainstall printer [emoji2774] Laserjet Pro MFP M125nw lakini ikafeli na inaleta error ile ile moja , nikabadili kutoka window 8.1 kwenda window 10 lakini vyote nimefail.. kama unamsaada nisaidie Mkuu . Au km kuna process naomba unijuze maana hii laptop ilikuwa na hiyo printer lkn kwa sasa haina .. na hazisomi..
NAOMBA MSAADA WAKO.View attachment 1386490View attachment 1386491

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio driver unatumia cd am umedownload site ya HP?
 
[/QUOTE]@Chuef-Mkwawa Nimejaribu kurun kwa compability mode ya win 7 lakini nashangaa tatizo bado liko pale pale .. Hata nikirestart na kuinstall upya mambo ni yale yale ...
Naomba Msaada Wako Wa Kina Maana Kila Nikiumiza Kichwa Nafeli Mkuu Wangu.
IMG20200316140033.jpeg
IMG20200316140042.jpeg
IMG20200316140058.jpeg
IMG20200316140459.jpeg
IMG20200316140833.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kuingia www.getintopc.com. Hapa unapata softwares karibu zote free of charge. Feedback please@Chuef-Mkwawa Nimejaribu kurun kwa compability mode ya win 7 lakini nashangaa tatizo bado liko pale pale .. Hata nikirestart na kuinstall upya mambo ni yale yale ...
Naomba Msaada Wako Wa Kina Maana Kila Nikiumiza Kichwa Nafeli Mkuu Wangu.View attachment 1389867View attachment 1389868View attachment 1389869View attachment 1389870View attachment 1389871

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye website yao hp? Unaweza andika hapa full model ya printer?
Hp laserjet pro mfp m125nw .. ila chief nimepata cd yake ya driver pia inaleta error ile ile , au kabla ya kuinstall kuna taratibu zakufuata mbali na maelekezo ,, alafu Computer zote zilikuwa zishafanyiwa installation ya printer baada ya window kuzingua tuka-uninstall printer ndo zikakataa kuinstall tena mpk cha leo , printer ni ya mwaka 2015 .. msaada wako Chief-Mkwawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kuingia www.getintopc.com. Hapa unapata softwares karibu zote free of charge. Feedback please@Chuef-Mkwawa Nimejaribu kurun kwa compability mode ya win 7 lakini nashangaa tatizo bado liko pale pale .. Hata nikirestart na kuinstall upya mambo ni yale yale ...
Naomba Msaada Wako Wa Kina Maana Kila Nikiumiza Kichwa Nafeli Mkuu Wangu.View attachment 1389867View attachment 1389868View attachment 1389869View attachment 1389870View attachment 1389871

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]Mkuu shida yangu ni printer kutofanya kazi .. window ninao nilipakua kwa media creator..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom