Bruce Hebrews
Member
- Sep 22, 2021
- 17
- 35
Habari zenu ndugu zangu Nina PC Aina ya HP niliiweka kwenye Chaji Usiku Sasa asubuhi nimeamka naona Haiwaki kabisa, vilevile Button ya Kuwashia PC naona imekuwa inatoa ka MWANGA hafifu nimejaribu kuiweka kwenye soketi nione Kama Itawaka au Laa lakini mpaka Sasa bado. Anayejua Tatizo litakuwa Nini Msaada jaman
View attachment 2029080
View attachment 2029080

daaah sio kwamba nimeshindwa kupeleka kwa Fundi bro!!! Nilitaka kupata njia Mbadala kabla sijafika kwa Fundi Moja Kwa Moja