Msaada pc kufuta mafaili automatic

Enzymes

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2013
Posts
4,332
Reaction score
3,020
Habar zenu wandugu,

Mie nina Computer (Laptop) aina ya HP ProBook 4540s ina Window 8. Tangia ni inunue imekuwa na tabia ya kufuta maifili yote ya desktop na my documents automatically kwa interval ya mwezi mmoja hivi. Hili tatizo hujirudia tena baada ya muda huo. Nilijaribu kuirudisha dukani, kwani nilikuwa na warranty ya mwaka mmoja, ila kama kawaida tabia za wabongo (ujanja ujanja na shortcut nyingi ktk biashara) wakagoma hata kunibadilishia PC.

Naombeni msaada wenu , hata kama ni settings ili niweze kuondokana na tatizo hili.

Karibuni wadau.
 
Kwann wakatae?sheria ifuate mkondo wake,nn maana ya hyo warrant?
 
..........imekuwa na tabia ya kufuta maifili yote ya desktop na my documents automatically kwa interval ya mwezi mmoja hivi........
  • Vipi kuhusiana na innstalled program katika PC yako, nazo pia hua zinafutika?
  • Ufumbuzi - Fanya re_installation upya ya OS wewe mwenyewe {Kwa vile ufutaji wa files zako ni "Periodic"}, bilashaka uliinunua ikiwatayari wamekuwekea OS na programs nyengine nyingi na ambazo pendine huzijui. mamu the catalyst
 
Last edited by a moderator:
Kwann wakatae?sheria ifuate mkondo wake,nn maana ya hyo warrant?
  • PC kama PC sidhani kama ina tatizo, Tatizo lipo kwenye OS, ilikuwa ni swala la waliomuuzi kuelewa tatizo na kumfanyi re_installation ya OS
 
Mkuuu kweli niliona kama kuna baadhi ya program tiyari zilisha kuwa installed. Ila huwa haifuti program za zamani isipokuwa updates na program za hivi karibuni. Mkuu nina uelewa mdogo wa mambo PC hasa maintanance or different settings. Naomba unisaidie navyo weza ku re instal hiyo OS.
 
Kwann wakatae?sheria ifuate mkondo wake,nn maana ya hyo warrant?

Ndg hawa Polisi + mahakimu wa siku hizi ukifuatilia watakupiga danadana weee hadi utachoka, mara mhe:tuwezeshe; huku wanachukua hela huku na kule. Yaani ni majanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…