Msaada paypal

Msaada paypal

Mavella

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
459
Reaction score
76
Nataka kulipa online kwa paypal nimejaribu kulink mpesa mastercard lakini imeshindikana je kuna njia nyingine ya kuweka hela paypal kwa kutumia mobile (kwa tigopesa au mtandao mwingine)
 
Unakwama wapi? Card yako ilikua na hela?
 
Hakuna huduma ya PayPal Tanzania. Sanasana wadau uwa wanatumia line za safaricom kufanya miamala ya PayPal. Uzuri ni kuwa line za safaricom zinasoma bongo
 
Nataka kulipa online kwa paypal nimejaribu kulink mpesa mastercard lakini imeshindikana je kuna njia nyingine ya kuweka hela paypal kwa kutumia mobile (kwa tigopesa au mtandao mwingine)
Mpesa MasterCard haikubali
 
Nilikwama kupata passcode ya kuactivate paypal yangu hadi leo sijawahi kuangaika nayo.

Mkuu labda na mimi nichomekee swali langu hapo, ulipataje passcode ya paypal?
 
Nilikwama kupata passcode ya kuactivate paypal yangu hadi leo sijawahi kuangaika nayo.

Mkuu labda na mimi nichomekee swali langu hapo, ulipataje passcode ya paypal?
Kuactivate vipi baada ya kujisajili au?
 
Kuactivate vipi baada ya kujisajili au?

Baada ya kusajili kuna code fulani 4 unatakiwa kuzijaza, sasa kila nikichungulia email sioni, nkisubiri labda itatumwa kwenye simu sioni mwisho wa siku nkaachana nao
 
Kama unatumia eBay we lipa tu..
 
Baada ya kusajili kuna code fulani 4 unatakiwa kuzijaza, sasa kila nikichungulia email sioni, nkisubiri labda itatumwa kwenye simu sioni mwisho wa siku nkaachana nao
Mbona baada ya kusajili unatumiwa email mda huohuo
 
Mkuu jaribu kurudia tena, hakikisha kwenye mpesa MasterCard yako kuna zaidi ya dola 2 then request tena zile code, hakikisha line yako ya Voda iko hewani muda huo watakutumia ndani ya dakika hiyo hiyo hizo code kwa njia ya SMS na sio kwenye email...
Mimi sijatumiwa hadi leo mkuu, nimetoka kuikagua baada ya kuona comment yako
 
Back
Top Bottom