Ally Msangi
JF-Expert Member
- Jun 29, 2010
- 610
- 124
..................
nime angalia jinsi ya kutatua tatizo hili katika net and they say this is a heat related failure that leads to BGA NVidia video issues and total video failure.
help plzzzzzzz............!!
Hongera mkuuu kwakuchukua hatua za mwanzo kugundua tatizo mwenyewe. u re really GT.
Kuhusu help kamaulivyosema msaada zaidi nil aptofkufunguliwa na mtaaalam mwenye vifaa sahihikuangali hardware damage. specifically kwa maelezo yako hiyo graphic card.
je hiyo haina display output ujaribu kuconnect monitr ya pembeni uone. just for try
Amesema amejaribu hiyo imegoma!
h10025.www1.hp.com/ewfrf/wc/document?docname=c01997899&tmp_task=solveCategory&lc=en&dlc=en&cc=uk&lang=en&product=1842189 said:.........
DO THIS FIRST - Perform a hard resetIf a PC suddenly fails to boot properly, you should perform a hard reset as the first procedure.
- Disconnect all peripheral devices and remove all USB devices and media cards. You want to test the computer not the accessories!
- Disconnect the AC power adapter, remove the battery, and then press and hold the power button for at least 15 seconds .
- Reconnect the AC power adapter (but do not connect the battery), Press the Power button, Look for glowing LEDs near caps lock and num lock keys, and Listen for sounds of a disk drive and fan turning.
If the notebook does not start and a black screen still appears after following the steps in this document, contact an HP Service and Support technician for further assistance. Click the Contact HP link in the upper left column on this page, or go to the hp.com home page and select Contact HP / Customer Service for information about the support options in your location.
Kuna kesi nyingi sana against HP kuhusu DV series, katika tatizo la wireless card, video card na tatizo la overheating ambayo ndio chanzo kikubwa cha uharibifu wa hzi laptops,
na hawa jamaa wajanja sana walipogundua tatizo ktk motherboard zao wakatoa terms n conditions kuhusu matatizo hayo ili ukiwashtaki wakushnde, so kuna law suit ambazo zina wa protect,