Habari zenu wapendwa, naomba mwenye taarifa zinazohusu maendeleo ya sekta ya uvuvi kwa Tanzania, kama kuna study yeyote ilifanyika na inawea kupatikana itakuwa vizuri zaidi.
Asante Mjimoto, nimeenda kwenye link uliyonipatia, lakini naona taarifa ni za muda mrefu. Ningeshukuru pia kupata za hivi karibuni na hasa kama kuna study inayoangalia maendeleo ya sekta uvuvi kwa ujumla wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.