Msaada nyumba ina mauzauza

Msaada nyumba ina mauzauza

Sio kweli mkuu hii nyumba imejengwa kwa pesa safii na halali sema sehem ilipo ni imejitenga sana,na toka ijengwe sisi hatujawahi ishi ilikaa zaidi ya miaka mitatu bila kuishi mtu
Kwa maelezo haya basi bila ubishi hapo wanaishi majini. Majini huoenda kukaa kwenye nyumba zilizosahaulika/zilizotelekezwa sasa wanashangaa mmewavamia makazi yao poleni sana. Cx Mshana Jr
 
Short and clear! Thread closed.
Tena hawa watu wanaosema wana maruhani sijui majini gani!! wewe shika huyo mtu fungia chumbani alafu ukiwa kwa nje dirishani choma mfupa au mifupa ya PIG A.k.A Mnyama mtamu kuliko wote duniani alafu ule moshi ufukizie kwenda chumbani..Alafu sikilizia ule mtiti wake.

Huenda huyu mnyama mbali na kuwa mtamu kuna siri kubwa behind.
 
Naweza kukusaidia bila kunilipa chochote mpaka utakapo thibitisha matatizo yamekwisha ndio utanilipa.
 
Visiwani mafia mkuu tunataka tukafanye kisomo mzee
Kisomo hakitakusaidia anatakiwa mtu mwenye uwezo juu ya mauzauza sio kisomo. Ka unabisha, nunua ubani wako kafanye hicho kisomo. Ila, siku ikishindikana, njoo PM
 
Back
Top Bottom