youngkato
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,641
- 3,659
Wakati nafika nyumbani leo nimekuta NYUKI wamejikusanya kwenye paa la nyumba,
Ni sehemu ya hatari maana kila mtu anapita.
Naomba msaada nitumie njia gani kuwatoa maana nimeona kuwatoa kwa moto haiwezekani.
Au kama kuna dawa ya kuwafukuza naomba msaada. Shukrani
Private geologist
Ni sehemu ya hatari maana kila mtu anapita.
Naomba msaada nitumie njia gani kuwatoa maana nimeona kuwatoa kwa moto haiwezekani.
Au kama kuna dawa ya kuwafukuza naomba msaada. Shukrani
Private geologist