Hiyo simu ina lock ktk network na simu hizo hua zinafungwa tangu kwao.
Hivyo jiandae kwa hela refu tu kuitoa lock yake kwani lazima ununue online key zake.
Na vile vile upate mafundi hodar na sio hawa wa kueka vibanda njee.
Mm nilikua nayo simu yangu ina tatizo hilo.