Kwangu ni mchanga mtupu nikabahatika kuwa na mifugo nikawa natupa shambani nikilima nafukia chini mchanga umekuwa mweusi amini usamini mazao yanayoota ni kijani kilichokolea kikubwa kuwe na availability ya maji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.