Msaada:Nitawajuaje hawa kuku aina ya kuchi na karakacha?

No Escape

JF-Expert Member
Mar 7, 2016
6,663
7,738
Nataka niagize hao kuku kutoka Tabora,jamaa amesema atanitumia picha whatsapp nimemwambia anitumie na clip video.....msaada nitawatambuaje wakifika?
 
Back
Top Bottom