chichimizi JF-Expert Member Jan 17, 2015 1,074 338 Jul 9, 2017 #2 Ngoja akianza utajua tu ......maana utaanza kwa kukonda kwa kasi
T Tuchki JF-Expert Member Feb 1, 2017 1,740 1,435 Jul 9, 2017 #3 utaanza kuandika nyuzi huku jf kuomba ushauri na kuuliza maswali hiyo ndo dalili ya mwanzo kabisa
Aqua Man JF-Expert Member Mar 17, 2017 336 1,142 Jul 9, 2017 #4 Sali kwanza, sio vizur kuchat ukiwa kanisan
STUNTER JF-Expert Member Dec 15, 2015 13,077 17,208 Jul 9, 2017 #5 Badala ya kupanga njia za kuboresha mahusiano yenu, wewe umekazana mitandaoni kumtafutia sababu ya kumuacha, Endelea utapata unachotaka
Badala ya kupanga njia za kuboresha mahusiano yenu, wewe umekazana mitandaoni kumtafutia sababu ya kumuacha, Endelea utapata unachotaka
Vian9december Member Jul 4, 2017 30 44 Jul 9, 2017 #6 Muulize kwanza aliwezaje kumuacha aliyekuwa naye na akawa na wewe?
Mahondaw JF-Expert Member Apr 9, 2013 61,972 156,268 Jul 9, 2017 #7 Utaona tu mabadiliko fulani fulani Cc Smart911
Wanu JF-Expert Member Sep 26, 2013 353 223 Jul 9, 2017 #8 Akianza ma style ya kufa mtu kwenye tendo bas tena
usser JF-Expert Member Sep 25, 2015 13,901 13,870 Jul 9, 2017 #9 Subr tu bdo hajakusalit Akianza utaona tu Matendo yakiongea
The Chosen One JF-Expert Member May 24, 2017 3,577 17,003 Jul 9, 2017 #11 Wavulana bana wanamatatizo kweli
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,134 141,957 Jul 9, 2017 #14 Mambo yako hayamfurahishi tena... Kila mara ni kuzodoana na kusemana... Hajali kuhusu chochote utakachofanya... Atakutafutia visasi na kisirani... Cc: mahondaw
Mambo yako hayamfurahishi tena... Kila mara ni kuzodoana na kusemana... Hajali kuhusu chochote utakachofanya... Atakutafutia visasi na kisirani... Cc: mahondaw
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,384 Jul 9, 2017 #16 Akianza tabia zisizoeleweka eleweka
Maarab JF-Expert Member Jun 21, 2017 415 253 Jul 9, 2017 #17 kama ni Mkeo ukichelewa kurudi utaskia..ushaenda kwa haoMahawara zako.. Sent from my SM-J120F using JamiiForums mobile app
kama ni Mkeo ukichelewa kurudi utaskia..ushaenda kwa haoMahawara zako.. Sent from my SM-J120F using JamiiForums mobile app
Pritty wa joseph JF-Expert Member Jul 17, 2014 2,380 2,040 Jul 9, 2017 #18 Kama ni watu mliozoeana, ghafla utaanza kuvikosa vitu ambavyo ulikuwa unavipata awali spend less, save more
Kama ni watu mliozoeana, ghafla utaanza kuvikosa vitu ambavyo ulikuwa unavipata awali spend less, save more
Pritty wa joseph JF-Expert Member Jul 17, 2014 2,380 2,040 Jul 9, 2017 #19 Smart911 said: Mambo yako hayamfurahishi tena... Kila mara ni kuzodoana na kusemana... Hajali kuhusu chochote utakachofanya... Atakutafutia visasi na kisirani... Cc: mahondaw Click to expand... Upo sahihi mkuu, yani hatojali spend less, save more
Smart911 said: Mambo yako hayamfurahishi tena... Kila mara ni kuzodoana na kusemana... Hajali kuhusu chochote utakachofanya... Atakutafutia visasi na kisirani... Cc: mahondaw Click to expand... Upo sahihi mkuu, yani hatojali spend less, save more
Karucee JF-Expert Member Mar 11, 2012 18,146 34,190 Jul 9, 2017 #20 Why don't we take time to enjoy what we have, while it lasts?? Achana na hayo mawazo potofu. Furahia mahusiano yako. Tafuta njia za kuzidi kuwa karibu na mpenzi wako na kuonyesha mapenzi kwake.
Why don't we take time to enjoy what we have, while it lasts?? Achana na hayo mawazo potofu. Furahia mahusiano yako. Tafuta njia za kuzidi kuwa karibu na mpenzi wako na kuonyesha mapenzi kwake.