mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Nina mpango wa kupeleka matangazo ya Biashara sehemu tatu (3); Radioni, kwenye Luninga (Tv) na kwenye mitandao ya kijamii ya hapa hapa nyumbani (blogs) kama JF.
Sasa Je, kama ni Radio mngenishauri kupeleka matangazo kwenye Radio gani na kwenye kipindi kipi? Kama ni Tv mngenishauri kupeleka matangazo kwenye kituo gani cha TV na kwenye kipindi gani?
Na mwisho kama ni kwenye mitandao ya kijamii ya hapa nyumbani (local) je mngenishauri mtandao gani na kwenye jukwaa au mada gani?
Ahsanteni sana na samahani kwa usumbufu..
Sasa Je, kama ni Radio mngenishauri kupeleka matangazo kwenye Radio gani na kwenye kipindi kipi? Kama ni Tv mngenishauri kupeleka matangazo kwenye kituo gani cha TV na kwenye kipindi gani?
Na mwisho kama ni kwenye mitandao ya kijamii ya hapa nyumbani (local) je mngenishauri mtandao gani na kwenye jukwaa au mada gani?
Ahsanteni sana na samahani kwa usumbufu..