MSAADA NIPO NJIA PANDA

dranx

Senior Member
Dec 31, 2018
190
84
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima naomba kwa anaye fahamu shule za private za advance zenye ada chini ya million 2 zilizopo Dar es salaam.
Kama mkiniambia Na ada zake itakua vizuri zaidi.
Nawasilisha naombeni msaada wenu.
 
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima naomba kwa anaye fahamu shule za private za advance zenye ada chini ya million 2 zilizopo Dar es salaam.
Kama mkiniambia Na ada zake itakua vizuri zaidi.
Nawasilisha naombeni msaada wenu.

Zpo
 
Back
Top Bottom