Msaada nipo kifungoni

Aisee kumbe saikology yaweza kuwa ugonjwa hatari sana.
Asante ndugu kwa ushauri hata mimi nimejifunza kitu hapo.
 
Sawa ndugu asante kwa ushauri.
Fanyia kazi hapa.
Ikiwa ukiwa katika ibada hali inazidi, we uwiache zidisha.
Sijajua dini yako lakin huenda ningejaribu kushauri zaidi, hapa ni Baadhi ya vitu huenda kiiman ndio maana nikasemea dini
 
Sawa sawa mkuu. Shukrani kwa kushare nasi hali iliyokusumbua nawe.
Kelele zilikuwa haziniathiri kwasababu nilikua nakaa ndani nafungua mziki mkubwa
Kuhusu kuogopa watu Ilikua hapana nilikua sipendi tu nikiongea na watu naingiwa na hofu au nakasirika naeza gombana au nikapiga mtu
 
Kweli mkuu hiyo ni changamoto
Simu nzuri anayo lakini ndio hivyo ni mtu wa kujitenga sana hata kwenye social media hayupo kabsa. Labda nianze kumshauri na kumpa somo kadri muda utavyokuwa unaniruhusu.
Ni bora kama ana smartphone ungemfungulia account hapa jf mana watu wengi n wazito kuanza kumtafta mtu kwa smu privately....na ndo mana wameanza kucomment hapa
 
Nafikiri kuna sehemu umenukuu vibaya. Kwenye jamii kuna watu wana matatizo na wanateseka lakini hawana sehemu ya kusemea kutokana na sababu nyingi mimi nimecheza sehemu ndogo tu kulieleza tatizo lake ndani ya hili jamvi.
Nibarikiwe na nini? Kama tabia za makundi ya watu kama hizo siku hizi imegeuka kua magonjwa nahisi wewe ndo mgonjwa mkubwa sana
 
Nasoma nipone.nani napitia kama wewe.Ila mi nimekua hivi baada ya mama kuondoka.sina interest na wanawake mi nikukaa ndani.nje natoka kwenda kuhemea na kuangalia mechi ya Liverpool tu.nilikua mchamgamfu na afya but hii miaka miwili duh....
 
Mkuu kuna baadhi ya sifa tunafanana ingawa baadhi sina , katika maisha sio wote tuna hulka sawa au tabia fanani, mimi ni Introvert person(google kuhusu introvert). Nimejikubali nilivyo , sifa kuu ya sisi maintrovert ni kuwa tunapendelea lone time and we don't trust easily, msingi ni kuwa kama upo kama mimi yaani introvert nakushauri jitahid kuwa open minded walau jichanganye kidogo though ni mtihana sana kwa aina yetu mkuu
 
Pole sana mkuu.....Tafuta mlimbwende ambaye anayejua malavidavi matatizo yako yote yataisha.
 
 
Naomba ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dalili zako zinafanana na mwenye tatizo la depression. Naomba nikusaidie tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…