Msaada: Ninahitaji nyumba ya kupanga NHC

Msaada: Ninahitaji nyumba ya kupanga NHC

kwemsangazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
260
Reaction score
87
Wandugu salaaam za Eid ziwafikie wote popote mlipo. Naomba kufahamishwa namna navyoweza kupata hizi nyumba za kupanga za National Housing.

Naamini nitapata ushirikiano wa kutosha toka humu jamvini.
 
nenda makao makuu yao kuna form watakupa ya maombi utajaza na utapewa maelekezo zaidi, ila nakutakia kila laheri mkuu
 
Zipo nyingi tu ndg, bei ni kuanzia laki6 mpaka mil7 kwa mwezi,
 
Budget yako ni kiasi gani? Na uwe tayari kuinunua baada ya kuishi kwa mda fulani
 
NimekuPM mkuu

nenda kwenye hizo flats kama ni changombe au shekilango au yoyote unayo taka jaribu kuonana na mwenyekiti wa mtaa au sjui watamuitaje,.....hapo.wao wanajuaa nani anatoka au muda wake umeisha hapo anamuaa kuondoka hao ndiyo watakupa mchongo.ila kuwa makini wengine wapigaji maana kisheria nhc hawaruhusu hiyo watu wanaachina kindugu au huyo anayehama anamuzia mtu....navyokumbuka mtu kukuwachia apartmnt ni zaidi ya mln 7 anakupa na makaratasi yote..badaye ww ndy utajuaa utafanya vp transfer.....kuja kwako.
 
Wandugu salaaam za Eid ziwafikie wote popote mlipo. Naomba kufahamishwa namna navyoweza kupata hizi nyumba za kupanga za National Housing.

Naamini nitapata ushirikiano wa kutosha toka humu jamvini.

Mtandaoni wapo..

Welcome to NHC: "Your Partner in Real Estate Development and Management"

Dodoso kuhusu uwezo wa wananchi kununua Nyumba
Let Us Know (Dodoso Kwa Kiswahili)

TARATIBU MPYA ZA UPANGISHAJI NYUMBA ZA MAKAZI NA BIASHARA
http://www.nhctz.com/images/Upangishaji.pdf

Kazi kwako
 
Back
Top Bottom