Mchele_kumwaga
Member
- Dec 27, 2018
- 12
- 2
Wasalam wadau,
Nina tatizo la kuumwa tumbo muda wote iwe nimekula au sijala.
Lilianza mwaka 2009,nilipoenda hospital nikafanya kipimo kinaitwa barium meal nikaelezwa nina vidonda vya tumbo,nikapewa dawa lakini hazikusaidia,nikahamia tiba mbadala haikusaidia.
Mwaka huu nimefanya kipimo cha OGD zaid ya mara nne nimeambiwa sina vidonda lakin tumbo linauma tu,
1.kuna muda linawaka moto
2.kuna muda linakwangua
3.kuna muda linajaa gesi
4.kuna muda linavimba
Na hayo maumivu ni hapa juu ya kitovu.
Msaada tafadhal,,kama kuna mwenye experience na hili.
Nina tatizo la kuumwa tumbo muda wote iwe nimekula au sijala.
Lilianza mwaka 2009,nilipoenda hospital nikafanya kipimo kinaitwa barium meal nikaelezwa nina vidonda vya tumbo,nikapewa dawa lakini hazikusaidia,nikahamia tiba mbadala haikusaidia.
Mwaka huu nimefanya kipimo cha OGD zaid ya mara nne nimeambiwa sina vidonda lakin tumbo linauma tu,
1.kuna muda linawaka moto
2.kuna muda linakwangua
3.kuna muda linajaa gesi
4.kuna muda linavimba
Na hayo maumivu ni hapa juu ya kitovu.
Msaada tafadhal,,kama kuna mwenye experience na hili.