sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,130
Hiyo ni dalili kuwa umejawa na roho ya Mungu, roho isiyofurahia kutoa uhai wa viumbe. Mimi niliacha kutumiakila aina ya nyama zenye kuchinja, kwa sababu ya huruma kama hizo. Maana yake nikila nyama naunga mkono mauaji ya wanyama wasio na hatia. Sijui mwenzangu kwa hilo ukoje? we pia ni ke au meKama kuna mtu yeyote anaeweza kujua namna ya kunisaidia
- Nakosa uhuru na amani