Msaada: Nimevunjika mfupa wa mguu kwa chini (tibia)

Msaada: Nimevunjika mfupa wa mguu kwa chini (tibia)

Inapendeza

Member
Joined
Nov 22, 2017
Posts
20
Reaction score
15
Wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyosema, matibabu hospital nimepata, ila naomba ushauri kama kama kuna supplement au dawa yeyote itakayonisaidia kuunga mfupa na haraka zaidi.

Christmas njema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta watu wa mitishamba watakuunga vizuri..huko hospital watakuozesha mguu.
 
Kuna mtaalam niliwahi sikia yuko tandika anaunga ndani ya mwezi tuu na mpira eti unacheza
 
Kuna mtaalam niliwahi sikia yuko tandika anaunga ndani ya mwezi tuu na mpira eti unacheza
Hapo Mwembeyanga Jirani Na Kituo Cha Mafuta Cha Puma Kama Unakwenda Secondary Ya Alhkima
 
Back
Top Bottom