no short cut on that you must use a toolSio smartphone Ni hizi Za kawaida na haina uwezo wa internet Nitawezaje kuifanyia factory reset?
Bango
![]()
Ndio inawezekanaInawezekana kweli kusahau password kwenye simu unayotumia kila siku!?
Weka serial number ya simu tukusaidieSio smartphone Ni hizi Za kawaida na haina uwezo wa internet Nitawezaje kuifanyia factory reset?
Bango
![]()
Kompyuta ninayo mkuu kama unaweza tafadhari nipe njia za Kuifungua!no short cut on that you must use a tool
Jibu haya maswali;Mwemye nayo ni mi mwenyewe
inatakiwa uwe na tool ama box la kutengenezea MTK GENERIC TOOL)Kompyuta ninayo mkuu kama unaweza tafadhari nipe njia za Kuifungua!
Binadamu tumeumbwa kusahau ndo maana unakuta mtu anakuwa na kumbukumbu alafu baadae zinapoteaInawezekana kweli kusahau password kwenye simu unayotumia kila siku!?
Hiyo thread ya mwaka janaJibu haya maswali;
Unamiliki hiyo simu kwa muda gani?
Password ulikuwa ukiitumia tokea lini?
Mara ya mwisho kubadili password ni lini na ulishabadili password mara ngapi..
Refer here Msaada Tecno J8 haifunguki, nimesahau Email na password
Umiliki wa hiyo simu unatia mashaka!
Kompyuta ninayo mkuu kama unaweza tafadhari nipe njia za Kuifungua!
Kivip!? Simu unayotumia kufungua password kila siku!? Halafu usahau password unayoifungua kila siku!? Are you kidding me!??Ndio inawezekana
Password ambayo unaifungua kila siku halafu inatokea kuisahau!? Are you kidding me, Ikiwa ni password unayoitumia mara moja moja hiyo kusahau inawezekana kabisa!Binadamu tumeumbwa kusahau ndo maana unakuta mtu anakuwa na kumbukumbu alafu baadae zinapotea
Sasa ndo kasahau mkuu na imetokea tuwe na imani kasahau maana wakati mwingine unaweza ukaibadilisha muda mchache uliopita hukupigiwa simu tangu asubuhi ukajikuta umesahau na huwa tuna mtindo wa kuamini akili zetu sie waswahili kwamba tutakumbuka ndo maana huwa hatu note kwenye notebook, by the way mie iliwahi kunitokea hasa kwa sie wenye password nyingi mara JF, mara facebook, mara email ya yahoo, mara email ya gmail ya simu achilia mbali instagram na password ya computer na instagram na bado za ATM (kuna factor nyingi zinazomfanya mtu asahau hasa unapoweka password mpya alafu usiitumie simu kwa masaa kadhaa)Password ambayo unaifungua kila siku halafu inatokea kuisahau!? Are you kidding me, Ikiwa ni password unayoitumia mara moja moja hiyo kusahau inawezekana kabisa!
Unless uniambie hiyo simu huwa anaitumia mara moja moja lakini huwezi nishawishi kuwa simu unayotumia kila siku tena kila unapotaka kuandika sms au kupiga simu lazima utumie, kuhusu hizo passwords za account mbalimbali ni rahisi kusahau kwa sababu si kila mara unaingia kusoma email au kutembelea JFSasa ndo kasahau mkuu na imetokea tuwe na imani kasahau maana wakati mwingine unaweza ukaibadilisha muda mchache uliopita hukupigiwa simu tangu asubuhi ukajikuta umesahau na huwa tuna mtindo wa kuamini akili zetu sie waswahili kwamba tutakumbuka ndo maana huwa hatu note kwenye notebook, by the way mie iliwahi kunitokea hasa kwa sie wenye password nyingi mara JF, mara facebook, mara email ya yahoo, mara email ya gmail ya simu achilia mbali instagram na password ya computer na instagram na bado za ATM (kuna factor nyingi zinazomfanya mtu asahau hasa unapoweka password mpya alafu usiitumie simu kwa masaa kadhaa)
POAUnless uniambie hiyo simu huwa anaitumia mara moja moja lakini huwezi nishawishi kuwa simu unayotumia kila siku tena kila unapotaka kuandika sms au kupiga simu lazima utumie, kuhusu hizo passwords za account mbalimbali ni rahisi kusahau kwa sababu si kila mara unaingia kusoma email au kutembelea JF