Msaada: Nimesahau password ya simu yangu

Eti uweke password alafu usahai why?hiyo simu ni ya wizi Mkuu mrudishie mwenyewe
 
nimefanya factory resert now naangaika kwenye email maana nimesahau

Umesahau password ya simu na pia email yako umeisahau?
Mrudishie mwenye simu mkuu, acha janja janja.
Jumapili leo onyesha wema.
 
Umeandikaje hii mode sasa wakati simu imelock
 
Una pc karibu? nikupe maelekezo na link ya kupakua program fulani!!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…