mamitod
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 914
- 382
Wakuu nawasalimu.
Poleni kwa majukumu ya kila siku pamoja na harakati za kupambana na makinikia yetu.
Naomba nisiwapotezee muda kwa hadithi ndefu. Nimepoteza hati ya kiwanja naomba msaada wa mawazo nini cha kufanya maana sina copy na original ndio imepotea katika mazingira tata. Nafikiri nilisahau bahasha iliyokuwa na fomu hiyo mahali na nilipofuatilia mhusika alikataa kuiona. Toka jana kwa kweli kichwa kinauma tokana na hilo. Nipeni msaada wa njia yo yote utakaonifanikisha kupata hati nyingine tafadhali. Sijui nikaripoti polisi au vipi? Nikienda ardhi kuomba watanikubalia kwamba ni mimi ilihali nilinunua toka kwa mtu? Yaani hiyo hati niliinunua toka kwa mtu na nilikuwa sijabadilisha jina. Wakuu msaada tafadhali. Naomba usijibu cho chote kuliko kunikejeli. Najua wengi humu ni waungwana. Please do the needful, I am in trouble. Ahsanteni
Poleni kwa majukumu ya kila siku pamoja na harakati za kupambana na makinikia yetu.
Naomba nisiwapotezee muda kwa hadithi ndefu. Nimepoteza hati ya kiwanja naomba msaada wa mawazo nini cha kufanya maana sina copy na original ndio imepotea katika mazingira tata. Nafikiri nilisahau bahasha iliyokuwa na fomu hiyo mahali na nilipofuatilia mhusika alikataa kuiona. Toka jana kwa kweli kichwa kinauma tokana na hilo. Nipeni msaada wa njia yo yote utakaonifanikisha kupata hati nyingine tafadhali. Sijui nikaripoti polisi au vipi? Nikienda ardhi kuomba watanikubalia kwamba ni mimi ilihali nilinunua toka kwa mtu? Yaani hiyo hati niliinunua toka kwa mtu na nilikuwa sijabadilisha jina. Wakuu msaada tafadhali. Naomba usijibu cho chote kuliko kunikejeli. Najua wengi humu ni waungwana. Please do the needful, I am in trouble. Ahsanteni