Msaada: Nimekuwa 'addicted' na makalio

Msaada: Nimekuwa 'addicted' na makalio

Mkuuuu ata mm sijui dawa yake mana Mimi nimekuwa addicted since sijuii nfanyajee
 
Habari wana JF,

Katika siku za karibuni nimejikuta napenda kuangalia wanawake wenye makalio. Kuna siku nikiwa kwenye usafiri wangu nikanogewa kuangalia makalio nikajikuta nadumbukia mtaroni pwaa!

Kwa kweli hii imekuwa kama ugonjwa kwa wanaume wengi. Ushauri kwa wanawake msitingishe sana hayo makalio yenu, you make us go crazy.​
nawaza ulovyoinuka ulijisikiaje
 
Hahahahahaa hasa hasa ukutane na ONION BOOTY! yaani hatari tupu
 
Cc.demiss,ukuty,shunie,mzigua200 na mama nanihiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom