Msaada: Nimejifumanisha mwenyewe

Msaada: Nimejifumanisha mwenyewe

The End..

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
4,362
Reaction score
3,846
Habari zenu wakuu mwenzenu leo yamenikuta mimi na mpenzi wangu tunaishi nyumba moja ila vyumba tofauti mimi naishi mwenyewe ila yeye anaishi na shangazi yake imekuwa kawaida shangazi yake.

Sasa usiku wa jana shangazi yake alitoka kwenye mida ya saa mbili hivi na muda huo mpenzi wangu aliniita kuwa shangazi hayupo na atarudi kesho asubuhi hivyo mimi niende kwake na kama ujuavyo mapenzi nikasema sawa.

Tumegegedana kwa raha vizuri na kwenye saa nane hivi nikamwambia acha mimi nikajipumzishe kwangu wakati natoka nilimwacha ametoka kitandani amelala kwenye kochi nikamwambia usilale hapo hadi asubuhi baada ya nusu saa amka ujilaze kitandani.

Basi nimerudi zangu kulala ila ilipofika saa 11 nikashtuka na nikakumbuka yule mwanamke inawezekana amepitiwa pale usingizi anaweza akaliwa sana na mbu pia kuna kuumiza shingo acha nikamwangalie kama amerudi kitandani hapo sasa sina hili wala lile kumbe shangazi alikuwa karudi saa tisa na mimi mzee mzima kwa kujiamini niliingia tu chumbani kwake nikiamini yupo binti tu.

Yule shangazi alishtuka kuniona na nilipomuona nilikimbia fasta kurudi kwangu sasa leo anaitisha kikao nyumba nzima kuhusiana na tukio hili naomba mnipe mawazo naikwepa vipi hii kesi maana naona sijielewi kabisa.
 
Mkuu nakushauri ongea na mwenye nyumba aweke milango haiwezekan mkaish watu wengi af kuna mapazia tu mtu unaweza tu kuingia bila kupiga hodi, shangaz pia mwambie awe analala uchi ili siku ukikosea pena ukiingia tu unaona papa lake
 
Shangazi hakufahamu kwani?
shangazi ananifahamu ila hafahamu kama natoka na binti yake na binti anasema nisimwambie kama ni wapenzi sababu atajua nimeenda kugegeda kwenye gheto lake.
 
Mkuu nakushauri ongea na mwenye nyumba aweke milango haiwezekan mkaish watu wengi af kuna mapazia tu mtu unaweza tu kuingia bila kupiga hodi, shangaz pia mwambie awe analala uchi ili siku ukikosea pena ukiingia tu unaona papa lake
mkuu milango ipo ila aliporudi yeye mwenyewe alijisahau kufunga kwa ndani na mimi ndo kilichonipa jeuri nimefungua nikaingia kama kwangu aisee...
 
tatizo nyumba nzima wanafahamu mimi sio mtumiaji wa pombe mkuu.

Point iko hapo, ilitokea ulikuwa na msongo wa mawazo ukashauriwa kunywa, sasa ulipotoka chooni ukajikuta umekosea chumba. Na hii imetokea kuchanganywa na pombe kwa sababu ni mara yako ya kwanza kunywa.

Nunua na chupa ya konyagi kubwa, imwage nusu ili ukiulizwa ushahidi uoyeshe kiasi kilichobaki.
 
Point iko hapo, ilitokea ulikuwa na msongo wa mawazo ukashauriwa kunywa, sasa ulipotoka chooni ukajikuta umekosea chumba. Na hii imetokea kuchanganywa na pombe kwa sababu ni mara yako ya kwanza kunywa.

Nunua na chupa ya konyagi kubwa, imwage nusu ili ukiulizwa ushahidi uoyeshe kiasi kilichobaki.
ushauri mzuri ila watanibana kwanini baada ya kumuona shangazi ukakimbia wakati ulikuwa pombe... natakiwa kuwa na point kidogo.
 
ushauri mzuri ila watanibana kwanini baada ya kumuona shangazi ukakimbia wakati ulikuwa pombe... natakiwa kuwa na point kidogo.

Umeondoka kwenye chumba chako hakuna mtu, kurudi unakuta mtu, kwa hiyo akili zilikujia ghafla sana kwamba umekosea vyumba ikabidi utoke nduki usije kuitiwa mwizi au unabaka. Inshort sema akili zilikujia hapo hapo baada ya kujua umekosea.

Huu msimamo ni lazima uanzie mwanzo mpaka mwisho.
 
Jitahidi sana kabla ya muda wa kikao uwe umepata number ya uyo shangazi na umtongoze, dawa ya moto ni moto chief
yaan mkuu nikimtongoza hapo ndo nitaharibu kila kona hapa natakiwa kupata maneno ya kuongea kwenye kikao chao hicho..!!!!
 
Umeondoka kwenye chumba chako hakuna mtu, kurudi unakuta mtu, kwa hiyo akili zilikujia ghafla sana kwamba umekosea vyumba ikabidi utoke nduki usije kuitiwa mwizi au unabaka. Inshort sema akili zilikujia hapo hapo baada ya kujua umekosea.

Huu msimamo ni lazima uanzie mwanzo mpaka mwisho.
na kweli yaan nikianza na moja natakiwa nimalize nayo.. ahsante kwa ushauri mkuu mwanzo nilipanga kumruka sababu hakuna mwingine aliyeniona... hiyo imekaaje..!!!
 
wacha upuuzi..... kwani alikukamata,,, au kuna alama umeacha......komaaa sio wewe......kesi ndogo sana hii...kwani umeiba??komaaa,,,, halafu wacha uasherati ....oa kama unataka mbunye binafsi.......
 
Umeondoka kwenye chumba chako hakuna mtu, kurudi unakuta mtu, kwa hiyo akili zilikujia ghafla sana kwamba umekosea vyumba ikabidi utoke nduki usije kuitiwa mwizi au unabaka. Inshort sema akili zilikujia hapo hapo baada ya kujua umekosea.

Huu msimamo ni lazima uanzie mwanzo mpaka mwisho.
na kweli yaan nikianza na moja natakiwa nimalize nayo.. ahsante kwa ushauri mkuu mwanzo nilipanga kumruka sababu hakuna mwingine aliyeniona... hiyo imekaaje..!!!
 
Back
Top Bottom