Nimeibiwa cm hapa nahis kuchanganyikiwa, natmia kisim kizito kuandika hapa inaskrach balaa nisameheni kwa mwandiko,nahisi nimechanganyikiwa nifanyeje niiipate tena cm yangu?nimeibiwa cm wakat ambao nimefulia maana cm yng ndo ilikua km jembe kwangu ndo ilikua inanilisha na kuniweka mjini acha 2 nifanyeje nipate cm yang ilioibiwa?