Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,253
Kwa jiji kama la dar ni ngumu. Isitoshe pia wakijua kuna camera wanavaa masweta yenye kofia au kapelo kufunika usoHapo anatafuta mwizi/waizi wake
Sasa kama kuna cctv hapo angewapata kiurahisi zaidi
Kweli umekuja na majibu hayo kuhusu cctv really?