Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,727
- 39,823
ya moto inaenda kwenye source ya moto mfano chaja ya simu, au powerbank na ya data inaenda kwenye tv.Tv ina sehemu moja ya usb ya data na iyo ya moto inakosa sehemu ya kuweka, hapo itakuwa vp!
kama ni mfupi huo wa power unauongeza tu na waya wa usb (male-female)