Msaada: Nifundisheni kuchora

Ok sawa
Ila mie nachora japo si kitaalamu pasi kujifunza popote.
Pengine ningechukua hatua ningekuwa mbali.
 
Uchoraji kama ule wa zile picha pale mwenge vinyago..napenda kujua vzr
 
Ndugu zangu nifundisheni kanuni, skills au mbinu za kuchora kitu chochote

Mf. Picha ya mwanamke mzuri,

Picha za wanyama kama tembo, vitu kama nyumba na miti.

Nitafurahi san nikiwez kuchora kwa kujiamini kapo (age go) umri ushaenda

Thanks
.....
......hakuna skills ..chukuwa maji yamwage ukutani then angalia ukutani kwa makini KUNAKITU UTAKUWA UMECHORA
 


Hivi wale wachoraji Wa vikatuni kama enzi zile za kwenye majarida ya Bongo, Sani......Ni aina gani ya uchoraji?
 
Asante sana mkuu, nakuja na maswal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…