Swordfisher JF-Expert Member May 1, 2013 233 37 Nov 27, 2016 #21 Kwani una uelewa upi hasa? Hebu tufafanulie kidogo maana kulalama bila hoja za msingi sio dalili ya kuwa na ufahamu mkubwa.
Kwani una uelewa upi hasa? Hebu tufafanulie kidogo maana kulalama bila hoja za msingi sio dalili ya kuwa na ufahamu mkubwa.
Uso wa nyoka JF-Expert Member Mar 17, 2014 4,791 2,372 Nov 27, 2016 #22 Hebu tueleze, unajua kipi mpaka uje kubwabwaja?