KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Nimeweka laini baada nusu saa ikapoteza network. Msaada wakuu natumia laini ya Voda.
Jaribisha line nyingine ingekuwa network searching ningekupa solution jaribu kuweka line nyingineNimerobot Mara kibao hola
Haisomi hiyo simcardNo service. Mkuu
Inasoma ndoo maana inaripoti no serviceHaisomi hiyo simcard
Line nikiweka kwenye simu nyingine inasomaJaribisha line nyingine ingekuwa network searching ningekupa solution jaribu kuweka line nyingine
Nimeweka laini baada nusu saa ikapoteza network. Msaada wakuu natumia laini ya Voda.
Hii ni A1661Angalia kwa nyuma model yake, kama ni A 1660, A1779, au A 1780. Hizi zilitangazwa kuwa na hiyo shida, wanazifanyia repair bure unaweza kwenda kwa Autorized dealer yeyote akakurekebishia ama akakuonesha kwa fundi aliekua authorized.
Hii ni A1661
Nimejaribu mkuu bila mafanikioConnect cmu yako to Wifi kisha nenda settings na utafute time and date setting, Enable Auto timezone kisha subiri imalize kuset timezone. Tena kwenye settings na this time tafuta Carrier, toa automatic mode na uweke manual mode kisha cmu itasearch network then utachagua network kulingana na simcard yako na cmu itapandisha signals kisha unaweza irudisha to Auto mode. Ikigoma reboot cmu yako na urudie zoezi. Mara nyingi iphone huwa na ugonjwa wa Searching au no service baada ya kudisconect battery hvyo ni shida ya kawaida na pia hutokea kwa iphones ambazo ziko locked to soecific networks so hyo yako kama hujawahi itumia with local networks yawezekana pia ikawa locked. Kama umewahi itumia bac fuata hyo tuto na utafanikiwa
Ukisearch networks unazipata?Nimejaribu mkuu bila mafanikio
Sipati natumia line ya vodaUkisearch networks unazipata?
Restart cmu yako then rudia zoezi. Unaweza pia kureset network settingsSipati natumia line ya voda
Mkuu siwezi kuuza ndo ya kwanza hii kuimilikiMkuu niuzie Mie hiyo iphone