Kama kuna mtu hapa anaejua gharama za kusafirisha mwili wa marehemu kutoka London mpaka Dar aniambie,kuna mdogo wangu wa kike aliolewa na mzungu kafariki huko sasa jamaa kautelekeza mwili kwa coroner nahitaji kuurudisha hapa kwa mazishi sijui itanigharimu kiasi gani.Ntashukuru mkinipa hata estimate.