kitonger
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 1,149
- 1,511
Habari wakuu..Nina laptop ya Dell..nimeiwasha Jana iliandika maneno hayo.msaada tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa zako hazijajikamilisha... Dell model gani?Habari wakuu..Nina laptop ya Dell..nmeiwasha Jana iliandika maneno hayo.msaada tafadhali.View attachment 1416080
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani imeanza tu?mkuu ntaipiga picha ila ni modern laptop, hapna mkuu sikubadili windows na Sina utaalamu wa kufanya hiyo njianl boss.
Sent using Jamii Forums mobile app
yah bro imeanza tu..Kuna mdau kasema harddisk itakua ndo ina shida..wengine wanasema windows..ndo nataka nikacheki vyote hivyo pamoja na ku install new windows.Yaani imeanza tu?
Kuna aina mbili za partition za hard disks. Kuna MBR ambayo ni mfumo wa kizamani kidogo na kuna GPT ambao ni mfumo wa kisasa.yah bro imeanza tu..Kuna mdau kasema harddisk itakua ndo ina shida..wengine wanasema windows..ndo nataka nikacheki vyote hivyo pamoja na ku install new windows.
Sent using Jamii Forums mobile app
duh mkuu unaenda deep Sana .saluteKuna aina mbili za partition za hard disks. Kuna MBR ambayo ni mfumo wa kizamani kidogo na kuna GPT ambao ni mfumo wa kisasa.
Kama sijakosea MBR huwa inaenda na Legancy/EFI na GPT huwa inaenda na UEFI.
Ukiona umeinterchange hapo basi ndio itakuandikia hayo maneno...