NURDIN.HAMIS
Member
- Mar 9, 2013
- 79
- 5
Kama nilivyo eleza hapo juu nina certificate of procurement and logistics management ambayo nilisoma chuo cha uhasibu ( TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANT.(T.I.A),lakini kutokana na matatizo ya kifamilia nimeshindwa kuendelea na elimu ya yangu japo result zangu zilikua nzuri semeter zote mbili naomba japo ushauri wenu tu wadau nijue pakuanzia maana nahisi ubongo umestaki.my no. 0713-626027.
Asanteni .
Asanteni .