Msaada ndugu NAPATA WAZIMU

Msaada ndugu NAPATA WAZIMU

mtz one

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
4,275
Reaction score
1,222
habari wakuu wa MMU
Mwenzenu nina tatzo ktk mapenzi na mpz wangu.
yaan n hv n mwaka wa pili kwny mahusiano mpz wangu hajawai shika cmu yangu kuikagua inaniuma sana yani hata umuachie makusud haishiki kuifungua kuangalia sma wala call log yan nateseka kwa hilo na kuna cku nikaiacha kitandani makusudi akiwepo nikatoka nje na kuanza kuipiga hyo cm yangu kwa cm nyingine ambayo nilisevu jna la honey nilipiiga wee wap hakuigusa tuma sms wap wala.hakustuka ivi ananipenda kweli huyu au ananizuga tu yan roho inauma kweli sujui nifanyeje mnisaidie jaman
 
Mkuu nenda kwanza kapime akili...nina wasiwasi kama una-hallucinate hivi
 
yaani hiyo ndiyo sababu ya wewe kupata wazimu!!!! mimi nilidhani labda mapepo yanakusumbua unahitaji msaada wa maombi, kumbe unayatafuta mapepo yalikolala!! aisee wewe una matatizo makubwa sana, na sijakuelewa kwa kweli maana yako hasa ni nini
 
We itakuwa kuna fuses zimefyatuka kichwani! watu tunawataka wa hivyo we unataka wapekuaji? Kwanza sema asante mungu kwa kumpata wa hivyo.
 
yaani hiyo ndiyo sababu ya wewe kupata wazimu!!!! mimi nilidhani labda mapepo yanakusumbua unahitaji msaada wa maombi, kumbe unayatafuta mapepo yalikolala!! aisee wewe una matatizo makubwa sana, na sijakuelewa kwa kweli maana yako hasa ni nini

ina maana mpz wang hana wivu kabisa kwangu
 
We itakuwa kuna fuses zimefyatuka kichwani! watu tunawataka wa hivyo we unataka wapekuaji? Kwanza sema asante mungu kwa kumpata wa hivyo.

hapana unaongea tu hvyo inaonyesha hakujali
 
Daaah! Natamani hiyo nafasi ningeipata mimi!! Kweli kila mtu na kichaa chake !! khaaaah!
 
Daaah! Natamani hiyo nafasi ningeipata mimi!! Kweli kila mtu na kichaa chake !! khaaaah!

mkuu japo wivu mbaya lkn mpz wako asipoonyesha wivu kwako inauma
 
nilipoana tittle ya hyo thread nikazani npo kwenye jukwaa la jokes kumbe npo MMU, ila pole sana tafuta chip nyingne then mtongoze utamwelewa2 au ni PM namba yake tutajua tu kama anazugaga au yupo seriouz baada ya ushauri huu naomba tufunge mjadala
 
nimecheka kwa kweli.tena roho inakuuma kabisa.unataka ugomvi wa kujitakia
 
Back
Top Bottom