Msaada: Naweza vipi kufix tatizo la invalid sim?

Poo pogba

Member
Aug 23, 2021
6
1
Nina simu ya button kila nikiweka line zinasoma Invalid sim,tatizo alija Anza muda.Kwa yeyote naomba msaada wa namna naweza kufix hili tatizo .
 
Angalia km IMEI za sticker zako zinafanana na IMEI kwa kubonyeza *#106#
Nina simu ya button kila nikiweka line zinasoma Invalid sim,tatizo alija Anza muda.Kwa yeyote naomba msaada wa namna naweza kufix hili tatizo .
 
Back
Top Bottom