Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Niko kwenye mchakato wa kuomba vyuo kupitia TCU. Nauliza kama inawezekana kusoma programmes za "Bachelor of Education in Science au Science with Education" ikiwa mimi nilisoma EGM? Naomba pia mnijuze kuwa ipi nzuri. Na kuhusu minimum points kwenye "Students Guide Book",je wanazingatia sana katika upangaji wa nafasi ktk chuo?