Msaada: Naweza kufika Namibia kwa basi?

Msaada: Naweza kufika Namibia kwa basi?

mkuu mimi nawaza kwenda sychellies au mauritius ni kila ulaia wa mauritius nadondoka monaco kama naenda zenji... na monaco to ufaransa ni kugusa hivyo... nategemea kutafuta uraia tofauti na huu... maana hapa kwetu... tia maji tia maji hali si shwari... tuna umizana kwa makusudi nchi yetu sote lakini wengine wanatutumia kama matambala ya deki,,,, wana tuona kama wajinga .... ina kera sana....

tuta rudi kama wawekezaji.... wakina payet, nani na wengine wametokea tulipo wameenda walipo... na sisi tusonge mbele ndio maendeleo tusibaki hapa hapa na kulia lia tu wakati fursa si lazima hapa nchini tu
Umevurugwa ww huko uendako fursa ni chache

ukilinganisha na tz, tunazungumza kwa uzoefu

nafikiri challenge kubwa iliyopo kwa vijana wa tz

ni mitaji.
 
mkuu mimi nawaza kwenda sychellies au mauritius ni kila ulaia wa mauritius nadondoka monaco kama naenda zenji... na monaco to ufaransa ni kugusa hivyo... nategemea kutafuta uraia tofauti na huu... maana hapa kwetu... tia maji tia maji hali si shwari... tuna umizana kwa makusudi nchi yetu sote lakini wengine wanatutumia kama matambala ya deki,,,, wana tuona kama wajinga .... ina kera sana....

tuta rudi kama wawekezaji.... wakina payet, nani na wengine wametokea tulipo wameenda walipo... na sisi tusonge mbele ndio maendeleo tusibaki hapa hapa na kulia lia tu wakati fursa si lazima hapa nchini tu
Duu namimi na fikilia kwenda uko ila galama no kubwa kwa sababu akuendeki na Basi ebu nipe maujanja
 
Ukiondokana na fikra hizi.....utapiga hatua kubwa sana kwenye maisha yako zaidi ya hata hapo ulipo

Nguvu kubwa ,muda na akili unavyotumia kwenye siasa ungevielekeza kwenye maisha yako ungekuwa umefanya maamuzi yenye busara Na manufaa sana

NB:
SI KWA UBAYA.....
Mzee wa busara nakukubaligi hapo tu yaani
 
Umevurugwa ww huko uendako fursa ni chache

ukilinganisha na tz, tunazungumza kwa uzoefu

nafikiri challenge kubwa iliyopo kwa vijana wa tz

ni mitaji.
nazungumzia namna ya kuingia ili uweze kwenda sehemu ingine kwa urahisi zaidi... na nikatolea mfano kwa kisiwa kama maritius kuwa ukipata pass yao una weza kwenda monaco kama unaenda tz kwenda zenji.... na baada ya mwaka waweza pata uraia wa marit ambao utakuwezesha kwenda ktk baadhi ya nchi zingine kwa urahis....

zingatio katik kisiwa hiki kuna wageni wengi toka nchi mbali mbali hadi za ulaya wanaenda huko kwa utalii biashara nk... na raia wa SA na Zimbabwe ni wengi huko... wana jiusisha sana na mambo ya utalii...

nilimpata rafiki toka zimbabwe ana niambia amesajiri kampuni kwa ajiri ya utalii ila ana taka kuanza na kusafirisha watalii toka airport, hotel nk... na anasema kinacho mshinda kwa sasa ni basi tu kwa kuwa lesseni na work permit anazo... ktk yote ana tafta mtu wa kuweza kuungana nae ili wanunue basi kwa ajiri hiyo...
 
.....nilimpata rafiki toka zimbabwe ana niambia amesajiri kampuni kwa ajiri ya utalii ila ana taka kuanza na kusafirisha watalii toka airport, hotel nk... na anasema kinacho mshinda kwa sasa ni basi tu kwa kuwa lesseni na work permit anazo... ktk yote ana tafta mtu wa kuweza kuungana nae ili wanunue basi kwa ajiri hiyo...
Yaani maelezo yako yamekaa kama unaenda kupigwa ndugu yangu,hii hadithi imekaa kitapelitapeli....nakutangulia pole zangu maana unajipeleka kwenye utapeli
 
Yaani maelezo yako yamekaa kama unaenda kupigwa ndugu yangu,hii hadithi imekaa kitapelitapeli....nakutangulia pole zangu maana unajipeleka kwenye utapeli
ina wezekana mkuu... lakini tatzo wengine huwa hatuogopi kufanya maamuzi ktk yale tunayo yaamini hata kama utateka watu wa muhimu ktk maisha yangu/yetu... huwa tuna amini ktk mimi na sio wewe yule au wale... ila tuna watumia wao, wale yule ninyi nk kama njia ya kujaza ubongo kuweza kuelewa mambo mengi yanayo endelea kwa undani or kwa kina...

kutapeliwa kila mtu ametapeliwa na wengine wanatapeliwa kwa namna mbalimbali...
 
Yaani maelezo yako yamekaa kama unaenda kupigwa ndugu yangu,hii hadithi imekaa kitapelitapeli....nakutangulia pole zangu maana unajipeleka kwenye utapeli
Cha muhimu ni kuwa makini tu, ila kiukweli wazimbabwe n kuwa makini nao japo sio wote..ila umakini unahitajika sana.
 
Back
Top Bottom