KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,801
- 39,661
Nenda Chato hizo fursa unazozifuata Namibia utazipata pale.
Ukiondokana na fikra hizi.....utapiga hatua kubwa sana kwenye maisha yako zaidi ya hata hapo ulipo
Nguvu kubwa ,muda na akili unavyotumia kwenye siasa ungevielekeza kwenye maisha yako ungekuwa umefanya maamuzi yenye busara Na manufaa sana
NB:
SI KWA UBAYA.....